Wazazi na walezi ndio wenye jukumu la kulipia chakula cha wanafunzi katika shule za msingi na upili- waziri Machogu
June 8, 2023
By Guyo Godana. NA Guyo Godana Wakaazi wa eneo la Toricha katika wadi ya Maikona, wamelalamikia kusahaulika n ahata kutelekezwa na serikali ya kaunti ya Marsabit. Wenyeji hao wakiszungumza na Radio Jangwani wanasema kwamba zahanati ilijengwa katika eneo hilo miaka mitano iliyopita ila kufikia sasa hawajaona matunda yoyote ya zahanati[Read More…]
By Samuel Kosgei, Gavana wa Marsabit Mohammud Ali amekashifu vikali Idara ya usalama katika kaunti ya Marsabit kwa madai ya kuzembea kazini na kuchangia kudumu kwa machafuko na mauaji ya kila mara katika jimbo la Marsabit. Akizungumza katika hafla ya kuzindua kliniki ya saratani katika hospitali kuu ya Marsabit, Ali[Read More…]
By Waihenya Isaac Bunge la Kaunti ya Marsabit limekuwa la hivi punde kupitisha mswaada wa marekebisho wa mwaka wa 2020. Mswada huo wa marekebisho ya katiba kupitia mpango wa maridhiano ya kitaifa BBI umewasilishwa katika bunge hilo hii leo na kupitishwa na MaMCAs 24 bila kupingwa na yeyote. Aidha ni[Read More…]
By Jillo Dida Shughuli ya kuwaajiri makurutu wa polisi imefanyika jana katika vituo mbali mbali kote nchini. Idadi ndogo ya vijana ilishuhudiwa katika vituo mbali mbali vya kaunti ndogo zote za Marsabit. Zoezi hilo limefanyika katika maeneo tofauti katika kaunti ya Marsabit yakiwa ni pamoja na Laisamis, Loiyangalani,[Read More…]
By Samuel Kosgei, Askofu wa Jimbo Katoliki La Marsabit Peter Kihara amesema kuwa kipindi hiki wakatoliki wote dunia wanapoanza kipindi cha kwaresma ni wakti mwafaka wa kufanya toba na kuzungumza na Mungu. Akihubiri katika kanisa Kuu la Parokia ya Maria Consolata mjini Marsabit, Kihara amewataka wakristo kutumia wakti huu[Read More…]
Picha :Hisani By Mark Dida, Baadhi ya walimu wakuu wa shule ya misingi eneo hili wametoa hisia mbali mbali baada Katibu katika Wizara ya Elimu Belio Kipsang kutoa tarifa kuwa watahiniwa wa KCPE wanatakiwa kujiunga na shule ya kutwa zilizoko katika kaunti zao. Kuligana na mwalimu wa shule ya msingi[Read More…]
By Adano Sharawe, Mwakilishi wadi ya Uran eneo bunge la Moyale Halkano Konso amechiliwa kutoka kwa kizuizi cha polisi juma moja baada ya kutiwa mbaroni na makachero wa DCI mjini Marsabit. Maafisa wa idara hiyo walikuwa walimkata Konso akihusishwa na kisa cha siku ya Jumamosi ambapo gari moja la serikali ya[Read More…]
By Mark Dida, Kaunti ya marsabit haijasajili visa yoyote vya maambukizi ya corona chini ya saa 24 zilizopita, ikisajili visa 147 tangu mlipuko wa virusi vya corona kuripotiwa nchini Machi mwaka uliopita. Hii ni baada ya sampuli 1164 kupimwa, mgonjwa mmoja aliaga dunia kutokana na makali ya virusi hivyo katika[Read More…]
By Waihenya Isaac, Washukiwa wanne waliokamatwa katika eneo la Ele Borr katika kaunti ndogo ya Turbi,Kaunti hii ya Marsabit mnamo februari 6 mwaka huu wamefikishwa mahakamani jijini Nairobi hii leo na kushtakiwa kwa kumiliki silaha bila kibali. Wanne hao kati yao maafisa wawili wa Kaunti ya Marsabit wamekana mashtaka[Read More…]
By Waihenya Isaac, Viongozi wa kidini nchini wametakiwa kuwa Katika mstari wa mbele katika kuwaelimisha wananchi kuhusiana na mchakato wa BBI. Kwa Mujibu wa Askofu mkuu wa kanisa katoliki jimbo kuu la Mombasa Askofu mkuu Martin Kivuva ni kuwa ni jukumu la kila kiongozi wa kidini kuelimisha waumini wake kuhusiana[Read More…]