County Updates

County updates, notifications, news from the Marsabit County

Wanawake watekelezwa Marsabit na hata kufanyiwa uamuzi muhimu wakati wa majanga

Na Waihenya Isaac, Jamii nyingi katika kaunti ya Marsabit zimewatelekeza wanawake huku wengi wao wakiumia kipindi kunapotokea majanga kwa kukosa ufahamu. Haya yamebainishwa wakati wa hafla ya kuwahamasisha wanawake kuhusu namna ya kujimudu wakati wa majanga. Afisa anayesimamia shughuli hiyo Sahara Ahmed amesema kuwa ipo hoja ya wanawake kupewa elimu[Read More…]

Read More

Kamishna Paul Rotich Awahakikishia Wakaazi Wa Kaunti Ya Marsabit Usalama Wa Kutosha.

By Waihenya Isaac Kamishna wa kaunti ya Marsabit Paul Rotich amewahakikishia wakaazi wa kaunti ya Marsabit usalama wa kutosha. Akizungumza wakti wa Uzinduzi wa shihena ya Chakula cha msaada Kutoka kwa shirika la msaba mwekunduku uliofanyaika hapa mjini Marsabit,Kamishna Rotich ametaja kuwa serekali inafanya kila jitihada ili kuondoa kero la[Read More…]

Read More

Serikali ya Marsabit Yaitelekeza zahanati ya Toricha iliyojengwa na kusalia magofu

By Guyo Godana. NA Guyo Godana Wakaazi wa eneo la Toricha katika wadi ya Maikona, wamelalamikia kusahaulika n ahata kutelekezwa na serikali ya kaunti ya Marsabit. Wenyeji hao wakiszungumza na Radio Jangwani wanasema kwamba zahanati ilijengwa katika eneo hilo miaka mitano iliyopita ila kufikia sasa hawajaona matunda yoyote ya zahanati[Read More…]

Read More

Gavana wa Marsabit Mohammud Ali amesema Idara ya usalama katika kaunti ya Marsabit ina mapendeleo

By Samuel Kosgei, Gavana wa Marsabit Mohammud Ali amekashifu vikali Idara ya usalama katika kaunti ya Marsabit kwa madai ya kuzembea kazini na kuchangia kudumu kwa machafuko na mauaji ya kila mara katika jimbo la Marsabit. Akizungumza katika hafla ya kuzindua kliniki ya saratani katika hospitali kuu ya Marsabit, Ali[Read More…]

Read More

Afueni Kwa Wakaazi Wa Jimbo La Marsabit Haswa Wanaougua Ugonjwa Wa Saratani Baada Ya Kliniki Ya Kuchunguza Na Kutoa Ushauri Kwa Kero La Saratani Kuzinduliwa Rasmi Hii Leo.

By Samuel Kosgei, Huenda ikawa afueni kwa wakaazi wa jimbo la Marsabit haswa kwa wale wanaougua ugonjwa wa saratani baada ya kliniki ya kuchunguza na kutoa ushauri kwa kero la saratani kuzinduliwa rasmi hii leo. Shughuli ya uzinduzi huo imeongozwa na Gavana Mohamoud Ali. Mama kaunti Alamitu Jattani ambaye ndiye[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter