Local Bulletins

regional updates and news

Wafanyikazi Wa Kampuni Ya Sino-Hydro Hapa Marsabit Walalamikia Dhulma Za Wachina.

Na Adho Isacko, Mwakilishi  Wa Wadi Ya Marsabit Ya Kati Hassan Jarso Amewasihi Wafanyikazi Wa Kampuni Ya Majitaka Ya Sino-Hydro Kurudi Kazini Kufuatia Mgomo Wao Ambao Umeingia Siku Ya 5 Hii Leo. Akizungumza Nao Nje Ya Afisi Ya Kamishna Wa Kaunti Hii, Jarso Amewaambia Kuwa Wameweza Kuzungumza Na Maafisa Wakuu[Read More…]

Read More

IEBC Yakabidhiwa Sahihi Za BBI.

  Na Waihenya Isaac, Ofisi Kuu Inayoshughulikia Mchakato Wa BBI Pamoja Na Wanaounga Mkono Suala Hilo Nchini Leo Wamekabidhi  Tume Huru Ya Uchaguzi Na Mipaka IEBC Sahihi Za BBI Zaidi Ya Milioni Tatu Walizokusanya Wakti Wa Zoezi La Ukusanyaji Sahihi. Timu Hiyo Inayoongozwa Na Kinara Wa Wachache Bungeni Junet Mohammed[Read More…]

Read More

Aliyekuwa Mbunge Wa Jimbo La Arusha Mjini,Godbless Lema,Apata Hifadhi Ya Kisiasa Nchini Canada.

Na Samuel Kosgei, Aliyekuwa Mbunge Wa Jimbo La Arusha Mjini, Godbless Lema, Aliyetorokea Kenya Mwezi Uliopita Kutokana Na Madai Ya Maisha Yake Kuwa Hatarini Nchini Tanzania Hatimaye  Amepata Nafasi Ya Hifadhi Ya Kisiasa Nchini Canada. Wakili Wake George Luchiri Wajackoyah Amethibitisha Kuwa Lema Aliondoka Jana Kenya Akiwa Na Familia Yake.[Read More…]

Read More

President Uhuru Kenyatta congratulates Ghana’s President Nana Akufo for his reelection

Statehouse President Uhuru Kenyatta has congratulated President Nana Akufo-Addo following his re-election for a second term in office. President Kenyatta said the re-election of President Akufo-Addo in a hotly contested poll demonstrates the strong confidence and trust the people of Ghana have in his visionary and progressive leadership. “On behalf[Read More…]

Read More

Wafanyibiashara mjini Marsait, walalamikia hatua ya maafisa wa idara ya kuzoa taka kujikokota kuondoa taka mjini.

By Mark Dida, Wafanyabiashara mjini Marsait, wamelalamikia kile wanachosema ni hatua ya maafisa wa idara ya kuzoa taka katika kaunti ya Marsabit, kujikokota kuondoa taka mjini humu. Wamesema kuwa taka hizo ambazo zimerundikana katikati ya mji, zinatoa uvundo kiasi cha kuyumbisha biashara zao. Wanataka taka hizo kuondolewa haraka iwezekanavyo, wakisema[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter