Bunge la kaunti ya Marsabit yalenga kuendeleza hatua ya kuondoa ardhi ya Karare kwenye hifadhi ya wanyama.
January 14, 2025
regional updates and news
Na Adho Isacko Watu sita wamewekwa chini ya karantini katika kaunti ndogo ya Moyale. Wanne kati ya sita hao ni madereva wa trela kutoka Addis Ababa huku wengine wawili wakiwa ni kutoka kaunti ya Mombasa eneo la Mtito Andei. Kulingana na waziri wa afya kaunti ya Marsabit Jama Wolde hadi[Read More…]
Aliyekuwa askofu wa jimbo la Meru kati ya mwaka 1976 hadi mwaka 2004, askofu Silas Silvius Njiru ameaga dunia. Marehemu askofu Njiru aliaga dunia usiku wa kuamkia jana Jumanne saa sita usiku nchini Italia. Kifo chake kimetokana na maambukizi ya virusi vya corona mjini Turin Italia alikokuwa akiishi katika nyumba[Read More…]
Na Adano Sharawe Kwa mara ya kwanza waumini wa kiislamu jimboni marsabit hawatahudhuria swala kama kawaida katika misikiti baada ya kufungwa kuzuia maambukizi ya corona. Katika taarifa, mwenyekiti wa baraza la maimamu na wahubiri SUPKEM jimboni Jarso Jllo Fallana amesema baada ya mashauriano baina ya viongozi wa misikiti, wameamua kufunga[Read More…]
NAIROBI, 20th March 2020 (PSCU) — The Central Bank of Kenya (CBK) has today released Shs 7.4 billion to support Government efforts to contain the spread of Coronavirus in the country. Speaking at State House, Nairobi, during President Kenyatta’s meeting with the private sector, CBK Governor Dr Patrick Njoroge said[Read More…]
By Machuki Dennson The spread of CORONAVIRUS in Kenya remains only seven confirmed cases as four suspected cases have been admitted at Mbagathi hospital isolation unit. Of the four one case has already tested negative and the other three are waiting for results. This is according to the cabinet secretary[Read More…]
SCHOOLS IN MARSABIT COUNTY INCLUDING PRIMARY AND SECONDARY HAVE BEEN CLOSED, A SPOT CHECK BY RADIO JANGWANI CONFIRMED THE SHUTTING DOWN OF CAVALLERA SECONDARY SCHOOL LEARNING PROGRAM WEDNESDAY MORNING.
By Jillo Dida Following the presidential directive issued on Sunday, schools in Marsabit County both primary and secondary schools have been closed. A spot check by Radio Jangwani confirmed the shutting down of schools in Bishop Cavallera girls, with the school administration releasing students early on Wednesday morning. The school[Read More…]
By MACHUKI Dennson The Catholic Church in Kenya has maintained that it will not close its doors because of the Coronovirus (COVID-19) that has heightened sensitivity and fear across the world. In statement released on Thursday evening the Church has outlined measures that will be observed as Christians celebrate Sunday[Read More…]
By National Communications Network News Team, Tuesday, 17/03/2020 The Holy Father Pope Francis has appointed Very Rev. Fr. Joseph Mwongela as the Fourth Bishop of the Catholic Diocese of Kitui. The news of the appointment of Bishop-Elect Joseph Mwongela was officially made public in Rome on Tuesday 17th, March 2020[Read More…]