Author: Editor

USALAMA WAIMARISHWA MPAKANI MWA KENYA NA ETHIOPIA KUFUATIA MAKABILIANO YANAYOENDELEA KATI YA KUNDI LA WAASI LA OROMO, OLF NA WANAJESHI WA ETHIOPIA

NA CAROL WAFORO Usalama umeimarishwa mpakani pa Kenya na Ethiopia kufuatia makabiliano yanayoendelea kati ya kundi la waasi la Oromo, OLF na wanajeshi wa Ethiopia. Ni makabiliano yanayoendelea katika eneo la Dukale nchini Ethiopia kilomita moja kutoka kaunti ndogo ya Sololo, Kenya. Akizungumza na shajara ya Radio Jangwani kaimu kamisha[Read More…]

Read More

KAUNTI YA MARSABIT YATAJWA KUPIGA HATUA KATIKA KUBALIANA NA UGAIDI NA ITIKADI KALI

  Na Carol Waforo Kaunti ya Marsabit imepiga hatua kubwa katika kukabiliana na kuziua ugaidi na itikadi kali. Haya yamebainika katika kikao jumuishi cha kaunti ya Marsabit kilichohusisha jamii, Idara mbalimbali serikalini, mashirika yasiyo ya kiserikali pamoja na wanahabari kuhusiana na kukabili na kuzuia ugaidi na itikadi kali. Ni hafla[Read More…]

Read More

MWAKILISHI WA WANAWAKE KAUNTI YA MARSABIT NAOMI JILLO WAKO AENDELEA KUTETEA MSWADA KIFEDHA WA 2024/25

NA SAMUEL KOSGEI MWAKILISHI wa wanawake kaunti ya Marsabit Naomi Jillo Wako ameendelea kutetea mswada kifedha wa 2024/25 unaoenda kujadiliwa na bunge wiki ijayo akisema kuwa mswada huo utazidisha maendeleo kaunti ya Marsabit na taifa lote kwani serikali itakusanya hela za kutosha. Wakti uo huo Naomi anasema kuwa kupitia kupitishwa[Read More…]

Read More

MBUNGE LEKUTON APENDEKEZA VIUNGO MUHIMU VYA MWILI VISIZIKWE NA MAREHEMU BALI ZIPEWE WAGONJWA WATAKAOHITAJI.

Na Samuel Kosgei Mbunge wa Laisamis Joseph Lekuton amependekeza bunge kubuni kutengeneza sheria itakayoruhusu wakenya wanaoaga dunia kupeana viungo vya mwili kwa hiari akisema hatua hiyo itasaidia wakenya wanaohitaji viungo hivyo. Lekuton akizungumza kwenye hafla ya kutoa damu katika hospitali kuu ya Marsabit Ijumaa amesema – kama vile wakenya husaidia[Read More…]

Read More

Wakaazi wa kaunti ya Marsabit wametoa maoni mbalimbali kuhusiana na mswada wa kifedha na bajeti ya mwaka wa 2024/2025  ambayo makadirio yake yamewasilishwa hii leo na waziri wa fedha Njuguna Ndugu

NA LELO Baadhi ya wananchi waliozungumza na idhaa hii wakiongozwa na Steven Roba wameonekana kuunga mkono mapendekezo ya bajeti hiyo wakisema kuwa yametilia  maanani suala la mfumuko wa bei huku wakitarajia kuimarika kwa uchumi kutokana na hayo. Kwa upande mwingine, baadhi ya wakaazi wamelalamika wakidai kuwa serikali itawadhulumu kupitia mswada[Read More…]

Read More

AFISA MKUU ANAYESIMAMIA MASUALA YA MISITU KATIKA KAUNTI YA MARSABIT KADIRO OCHE AMETOA ONYO KWA WALE WANAOCHUNGA MIFUGO YAO NDANI YA MISITU YA MARSABIT.

NA TALASO HUQA Akizungumza nasi afisini mwake Kadiro amesema kuwa ulishaji wa mifugo katika msitu huo mara nyingi huchangia uhalifu na wizi wa mifugo akisema kuwa wafugaji wanaruhusiwa kupeleka mifugo kunywa maji pekee  na pia kulisha mifugo hao wakati ambapo kuna kiangazi. Aidha Kadiro amewahimiza wakaazi wa Marsabit kuzidi kupanda[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter